Quantcast
Channel: Maisha ni Vita
Viewing all 26 articles
Browse latest View live

Gari latiwa chumvi, jengo la mkuu lachomwa

$
0
0
HUJUMA nzito zimefanywa dhidi ya chuo cha uuguzi na ukunga cha Mbozi kilichopo wilayani Mbozi mkoani Mbeya zilizosababisha hasara kubwa na kuzusha wasiwasi miongoni mwa jamii inayokizunguka chuo hicho.

Akizungumza na waandishi wa habari waliofika chuoni hapo jana mkuu wa chuo hicho Hiza alieleza kuwa matukio yaliyotokea mfululizo ni pamoja na kutiwa chumvi kwenye injini ya gari STK 3014 aina ya Land Cruiser Machi 14 mwaka huu na kusababisha gari hilo kuharibika.

Tukio la pili ni kuchomwa moto kwa ofisi ya mkuu wa chuo ambapo mali nyingi na nyaraka muhimu ziliteketea zikiwepo kompyuta kubwa 2, laptop 2, photocopy 1 pamoja na samani zilizokuwemo humo ambapo thamani halisi ya mali iliyoharibika bado haijafanywa na mthaminishaji wa serikali.

Pamoja na mambo hayo pia mkuu huyo ameeleza kuwa anaishi kwa hofu kufuatia vitisho anavyopewa ikiwa ni pamoja na kulazimishwa kumteua msaidizi wa mkuu wa chuo ambao wafanyakazi walio wengi walimtaka.

“Nilivyofika hapa mwaka jana Februari wafanyakazi wa ngazi ya chini walikuwa wakinijia mara kwa mara kunitaka nimteue mmoja wa walimu (jina limehifadhiwa) kuwa msaidizi wangu lakini nilikaa kimya nikiangalia ni nani ningemteua ndipo nilipomteua Josephat Kaja kuwa msaidizi wangu na hapo ndipo nilipopokea barua ya kunipa siku 14 nibatilishe uamuzi vinginevyo wangenifanyizia” alieleza mkuu wa chuo.

Baadhi ya wafanyakazi chuoni hapo ambao waliomba majina yao kuhifadhiwa walisema kuwa chanzo cha mgogoro huo ni mfumo wa uongozi ambapo walidai kuwa tangu aje mkuu wa chuo huyo mgeni pamekuwepo mabadiliko makubwa ya namna ya kudhibiti mali ya chuo na kwamba uhuru uliokuwepo wa kufanya watakavyo ulikwisha.

“ Nenda kwenye bwalo la chakula kumenunuliwa viti vipya zaidi ya mia tatu, kumepakwa rangi na kuwekwa marumaru mambo hayo yamefanywa na mgeni huyu ambaye amemaliza mwaka sasa” aliongea mfanyakazi huyo.

Hata hivyo wananchi wameomba kuitishwa kwa mkutano ambapo wanatarajia kupiga kura za kumtaja anayehujumu chuo hicho mbele ya mkuu wa wilaya ya Mbozi na kwamba watamtaka mkuu wa wilaya kuondoka naye mara baada ya kura hizo.

Mauaji ya kishirikina yaibuka upya Mbozi, viungo vyuzwa Zambia

$
0
0
Wafanyabiashara mtatumaliza

MAUAJI yanayoambatana na imani za kishirikina yameibuka na kutia hofu wakazi wa kijiji cha Myunga wilayani hapa na kuwafanya washindwe kufanya kazi za uzalishaji mali.

Matukio yaliyozua hofu ni mauaji ya msichana ambaye hajatambuliwa aliyeuawa Aprili 20 na kutupwa katika mto Lwasho ambapo alikutwa na wavuvi ambao walitoa taarifa kwa uongozi wa kijiji.

Baada ya uchunguzi maiti alibainika kutolewa ulimi, maziwa, meno na sehemu za siri hali iliyoamsha hasira za wananchi na wakawataka polisi kuondoka na mfanyabiashara Kasandilo Mteka ambaye walimtuhumu kuhusika na mauaji hayo.

Hata baada ya polisi kuondoka na mtuhumiwa huyo wananchi hao wenye hasira waliamua kuvunja nyumba ya mtuhumiwa ambapo walipekua na kuvikuta vitu vinavyodhaniwa kutumika katika kazi hizo za mauaji zikiwemo sindano mbili zilizodaiwa kuwa ni za BM.

Ambapo baada ya mahojiano mtuhumiwa alimtaja kamanda wa polisi mkoani Tanga kuwa ndiye mwenye vyombo hivyo.

Wananchi hao walimkamata mtuhumiwa mwingine Leonard Simfukwe na kumpiga hadi kumuua ambaye aliwataja watu wengine kumi wanaojihusisha na mauaji hayo wakiwemo wengine toka mkoani Rukwa na pia alielekeza kuwa kuna miili mingine mitano imefungwa mawe na kutumbukizwa mtoni ikiwa imenyofolewa baadhi ya viungo ambavyo vinauzwa nchini Zambia.

Katika operesheni hiyo alikamatwa mwingine aliyejulikana kwa jina la Tall Siwiti mkazi wa Miangalua mkoani Rukwa ambaye alinusurika kuuawa baada ya polisi kumnusuru na hivi sasa amelazwa katika hospitali ya Laela mkoani Rukwa kufuatia kipigo kikali alichopewa.

Wananchi walioshuhudia tukio hilo walieleza kuwa watuhumiwa hao hawajaonewa bali mwenendo wao na kazi wanazozifanya ndizo zinawashitaki na kwamba si hao tu bali kundi lote linahitajika kukamatwa na polisi na kama watashindwa basi wao watachukua hatua stahili.

Aidha hali si shwari kabisa eneo hilo kufuatia baadhi ya watuhumiwa waliotajwa kutoroka na kuziacha familia zao wakiwemo wafanyabiashara wa eneo hilo ambapo mmoja wao aliyejulikana kwa jina moja la Simundwe alihamishwa chini ya ulinzi wa polisi.

Afisa Mtendaji wa kijiji cha Myunga Edwin Sikapizye alithibitisha kutokea kwa matukio hayo na kwamba wanasubiri hatua za polisi za uchunguzi ikiwemo utafutaji wa miili hiyo mitano iliyozamishwa mtoni baada ya kuuawa.
Mwisho

Nimerudi

$
0
0
Jamani mwenzenu nilikuwa nimeitikia wito wa Rais wetu Jakaya Mrisho mwana wa Kikwete wa kutekeleza Kilimo Kwanza sina mafanikio najaribu tu

Mkulima anyanyasika

$
0
0
Hapa Mbozi kumeibuka wimbi la wizi wa kitapeli au udanganyifu baada ya wafanyabiashara wasio waaminifu kukutwa wakiuza mbolea ya bandia. Uchunguzi uliofanywa na timu maalum umesababisha wafanyabiashara hao kukimbia vibanda/maduka yao na kutokomea kusikojulikana.

Kufuatia hali hiyo tutarajie nini kama siyo njaa na umaskini katika jamii ya watanzania? TBS iko? Nini lengo la wafanyabiashara hao kama siyo hujuma?

Chombo muhimu kwa ufugaji wa kuku kibiashara

$
0
0
Ujasiriamali ni muhimu kwetu sisi wanahabari. Hapa nimeanzisha utengenezaji wa vifaa vya kuangulia vifaranga sijui kama nitakuwa sahihi kuita mashine. inao uwezo wa kuangua mayai 140 hadi 150 na kutotolesha viafaranga kwa zaidi ya asilimia 80. Karibuni kwa ushauri na maboresho zaidi juu ya mashine hii inayotumia mafuta ya taa. kwa sasa tunauza Tzs 400,000/= kwa mawasiliano tumia barua pepe kmwazembe@yahoo.com au simu 0762 246 322 | 0715 246 322 | 0752 398 405

Wanafunzi watunisha misuli ili kuipa serikali ujumbe

$
0
0
Wanafunzi katika miji ya Tunduma na Vwawa wilayani Mbozi wameandamana hadi ofisi za halmashauri wakidai haki zao. Wanafunzi hao walielezwa sababu ya hali hiyo na kuwafanya wanafunzi kutoridhika na ndipo walipojilaza barabarani kuzuia magari yasipiti hali iliyochochewa na baadhi ya wananchi na hivyo kuwalazimu polisi kuwatawanya kwa mabomu ya machozi. Ofisi ya halmashauri ya mji wa Tunduma zimevunjwa na wanafunzi walioandamana. Aidha nyaraka muhimu zote za ofisi hizo zimechukuliwa na kutawanywa ovyo barabarani, pikipiki moja imechomwa moto, computer ya ofisi imeibiwa. Wanafunzi wa shule za Halori na Ichenjezya mjini Vwawa walizuiwa katika lango kuu la halmashauri (Gate) ambapo polisi walifauru kuwaondoa kwa kuwabembeleza. wanafunzi hao walipohojiwa na mwandishi wa habari hii walidai kuwa walimu wao wamegoma na kuwanyima haki ya kusoma ambayo ndiyo wanayoidai. hata hivyo ofisi za Mkuu wa wilaya na Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri zilifikwa na wakati mgumu hadi kusababisha shughuli nyingine kusimama kwa muda.

Kilimo Kwanza

$
0
0
Sera au kauli mbiu ya kilimo kwanza imepokelewa na wananchi vijijini kwa matumaini makubwa lakini kwa bahati mbaya haijaeleweka ama kwa waenezaji wa sera hii kutoielewesha vilivyo kwa wakulima au utekelezaji wake umekuwa wa kisiasa zaidi. Ni katika kipindi hiki tumejionea pembejeo feki zikiuzwa kwa wakulima ikiwepo mbolea, madawa na mbegu. Matokeo yake tumeyashuhudia yaani janga la njaa kuikabili nchi yetu. pamoja na hayo taasisi husika zilijaribu kufuatilia hujuma hiyo ambapo maeneo mbalimbali walinaswa wachakachuaji hao na wengine kutoroka. Rushwa limeuwa suala kuu katika kuwashughulikia watuhumiwa hao, makampuni husika walijieleza vizuri wakiwa wamevaa mashati ya mikono mirefu mambo yamekwisha. Serikali ilianzisha MKUKUTA NA MKURABITA kwa nia njema lakini cha kushangaza Hakimiliki za kimila (Customary Title Deeds) zilizotarajiwa kuwasaidia wananchi vijijini zimekuwa kiini macho tu kwani mabenki au taasisi za fedha hadi Benki ya Rasilimali (TIB) wamezikataa kwa madai kuwa hazitambuliwi. Mimi ni mhanga wa hati hizi. Najiuliza; hivi hii serikali imepitisha sheria ya Ardhi ya vijiji No 5 ya mwaka 1999 kwa maigizo? Wilaya kama Mbozi huku niishiko sheria hiyo hiyo imekataza kutoa hati kubwa zinazotolewa na serikali yaani Wizara ya Ardhi je hii ni namna ya kutueleza uzuri wa kilimo kwanza? Nawapongeza Mfuko wa Pembejeo wa Taifa chini ya Mkurugenzi Mkuu Mariam Nkumbi kwa kuzitambua hati hizi na hivyo kuendelea kutoa mikopo kwa hati hizo. Hapa chini ni matokeo ya mchango wa Mfuko huo hapa Momba wilaya mpya.

REVELATION ( THAT 'S GOOD NEWS IN ACTION )

$
0
0
GOOD NEWS COVER PAGE




Scriptures taken from the HOLY BIBLE NEW INTERNATIONAL VERSION. Copyright © 1973, 1978, 1984 by International Bible Society. Used by permission of International Bible society.



“NIV” and “NEW INTERNATIONAL VERSION” are trademarks registered in the United States Patent and Trademark office by International Bible Society.

A CLASSIC REPUTATION CONCERNING THE LIVING GOD. (1Corinthians 5:11-13; Philippians4:8-9)



The Bible contains the mind of God, the state of man, the way of salvation, the doom of sinners and the happiness of believers- (by the Gideons International www.gideons.org) (John3:16); 2Corianthians-2:15-16)



JESUS’S CROSS DISCREPANCIES.

( Luke 12:49-52; 17:24-25; Romans5:6-11; Revelation11:1-14 Proverbs17:27; Matthew10:16,2Corianthians5:10



No one can say Jesus Christ is the Lord except by the Holy Spirit. No one can live by the Spirit and keep in step with the Spirit except by the Spirit and no ne can worship the Living God except by His Spirit for God is Spirit He never forgives.



(A) Life by the Spirit- Proverbs21:30; (John4:19-24,5:39-42; 6:63) Romans7:5-25, (Galatians5:16-18, 6:4-5) (Corinthians12:3;15:12-57) Revelation11:1-14



(B) God is Spirit He never forgives (Exodus33:19-23;34:14) Proverbs29:27;John6:44-45; Amos4:11; Luke12:10 Mark3:28-30; 1Corinthians3:10-15 ( Hebrews10:31;12:29)





“NIV”







The GOOD NEWS to this generation is all about putting the WORD into practice (the Bible John 1: 1- 5); Romans 14: 16 – 18; (1 Corinthians 4: 18 – 21;11: 18 -19; 14: 34- 38) Ephesians 6:10-20; 2 Timothy 2:4- 7; 1 Peter 1:13; Revelation 13:18; Philippians 4:8-9



The Living God Has created Heaven and Earth and all what is in it, but PRAISE and HONOR is given to hypocrites’ priests! The Lord God cries!, This is calamity on Earth!! (Mungu aliye hai ameumba Mbingu na nchi na vyote vilivyomo ndani yake, lakini SIFA na UTUKUFU wanapewa wachungaji wanafiki! Mungu analia, haya ni majanga Duniani.



Jeremiah 23: 9 – 40 (Ezekiel 14: 12 -23; 34: 1 – 31) (Amos 2: 7; 8:7 – 14) (Romans 1: 18 – 32; 2: 24) (2 Thessalonians 2: 5 – 8; Mathew 6: 1 – 8, 16- 18; Habakkuk 1: 5 – 11; Judges 21: 25.



WHAT MAKES FALES PRIESTS AND FALSE PROPHETS TO THS GENERATION (That’s Pagan priest – Isaiah 57: 8; Ephesians 2: 11 – 12)



1. They are hypocrites :- (Mathew 6: 1 – 8; 16- 18; 23: 1 -39) (Proverbs 10: 19; 17- 28)

1Timothy 4:16; 2Tomothy 2:4-7; James 3:9-12

2. They worship with women when they are not supposed to do so, 1Corinthians 14: 32 – 38; Ephesians 5: 22 – 24; 1 Timothy 2:11 – 15



3. They deceive people through their counterfeit miracles: - Exodus 7: 1 -24; (Mathew 7: 15 – 23; 12: 38 – 42; 24: 21 -27) Revelation 13: 11-18; John 6: 44 -45

4. They make their own constitutions when they are not supposed to do so:-



(i) One Government (That’s Spiritual unity ) Isaiah 9: 1 – 7; Zechariah 6: 15

(ii) They make their own Constitutions:- Habakkuk 1: 5 – 11 (Acts 13: 40 -41



5. They divide people:- Luke 12: 49 – 53; (I Corinthians 1: 12 – 13; 11: 11 -17) James 3: 13 -17; Proverbs 20:3



6. They forbid people to marry :- 1Timothy 4: 1- 3; Colossians 2: 8 – 23; (Hebrews 7: 24- 25,28. The living God Had done this on Earth to fulfill these scriptures which shows that all men are saved by grace not by works: Isaiah 24: 1- 3 (Romans 3: 9 – 31; 4: 1- 25; 11: 25 – 36), Ephesians 2: 8 – 9 James 4: 12 (Colossians 2: 6 – 23; 3: 10 – 11



THEREFORE

A. The priests themselves need to be taught all over again for they have made the people worship instead of teaching them the Good News free of charge.



(i) They need to be taught all over again:- John 6: 44 – 45 (Hebrews 5: 11 14; 6: 1- 6; 8: 1- 13) (Mathew 15: 13 – 14; 21: 28-32) 2 Peter 3: 15 – 17; (Proverbs 27: 17,21, 22)



(ii) The Good News is free of charge service to this generation:- Mathew 10: 8; (Acts 20: 33 – 35; 28: 30 -31) 1Corinthians 9: 1 – 27; 2Corinthians 11: 7 – 15



B. No man is owed by the Living God on Earth. Exodus 34: 14; (Job 38: 33; 41: 11) Romans 9: 19 – 29; 2 Timothy 2: 20; James 4: 4- 5, 12;

1 John 5: 19



C. The life on Earth is not true life for all sacrifices are fake:-

(i) The life is not true life – Mathew 19: 23- 26 John 6: 43 – 51; 1

Corinthians 15: 35 – 57; 2 Corinthians 4: 18; 1 Timothy 6: 19;2

Paeter 3:13; (Revelation 11: 14; 13:18) Luke 20: 27 -40

(ii) The saccrifies and tithes on Earth are fake:- Leviticus 26: 34, 35, 45 –

46 Malachi 2: 1 – 14; 4: 5 -6)



D.The living God is working with world rules (Government leaders) to

circumcise men in the world (Proverbs 21: 1; 22: 2 ,7; 24: 21 -22) Isaiah 9: 1-7; (Romans 1: 18 – 32; 13: 1-7; 15: 27) John 7: 42; Galatians 3: 16; Hebrews 13: 17



E. The sword against the false priests and false prophets on Earth is the Word

it self for the Word is God



(i) The Word is God – John 1: 1 -5

(ii) The Word as the sword:- Leviticus 26: 34, 35, 42 – 46; Amos 8: 7 – 14; Jeremiah 23: 28 – 29; Mathew 12: 36 – 37; John 5: 39 – 40 Romans 9: 17; 2 Thessalinians 2: 1 -12; 2 Timothy 3: 16 – 17; (Revelation 19: 10, 14 – 16; 22: 7 – 21.



F. The Bible is the mirror to mankind and the world as whole:- Leviticus 26: 1-

46; Deuteronomy 28: 1-68; Isaiah 19: 1- 25; (Hosea 3: 4- 5; 4: 1 -19)

Revelation 22: 11; (Luke 16: 1 -15; 19: 11 – 27)



Therefore I conclude by telling all would be well wishers that, I Roymond has written the male circumcision constitution entitled TOHARA KATIKA BIBLIA (CIRCUMCISION THROUGH THE BIBLE) which has been examined by constitution writer by the name Kenneth Mwazembe. Cell is 0762246322



I am asking for help from whoever mite be interested on my views for the Lord’s work on Earth is democracy. (Jeremiah 23:28-32). Raymond Samuel Mwampamba, Itepula Village – Mbozi – Mbeya.



Cell: 0768458969 – 0655371220

Email: raymondmwampamba@yahoo.com



Jeremiah 9: 23- 24; (Amos 3: 7; 4: 13) Luke 16: 13 – 15 John 14: 12 – 14; 2 Corinthians 12: 1 -12

“NIV”











































GOOD NEWS, GOOD NEWS, GOOD NEWS!! NO 2

(ACTS 10: 36- 38; John 1:1- 5. Ezekiel 14: 1-23)



The Living God does always work with world Rulers (Government leaders) not priests for theypedle the Word for profit only. God working with Government leaders (Proveerbs 20: 2; 21: 1; 22:2, 7; 24: 21,22.) Jeremiah 33: 14- 26; Ezekiel 37: 22 Romans 1: 18- 32, 13: 1- 7; Reveltion 22: 11.Isaiah 9: 1- 7



About priest – Jeremiah 5: 30- 31, Amos 8: 9- 14; 2 Timothy 2: 4- 7. The Word for profit:- 2Corinthians 2: 17; 1Timothy 6: 3- 10; Ezekiel 34: 1- 31. THE LORd GOD DOES detest:- (i) Rich people:- Proverbs 13: 7-8; James 5: 1- 6; Luke 16: 13- 15; Mathew 6: 24; Haggai 1: 1- 17 (ii) Scholars:- 1 Corithians 1: 18- 29; Luke 16: 15; 1 John 5: 19 (iii) Arrogant people:- Ezekiel 21: 25- 32; 1 Corithians 7: 29- 35 (iv) Corrupt rules:- (Exodous22:21;23:9) Leviticus 19:33-37 Deoteronomy9:4-6; Nehemiah5:17-18; Proverbs14:9-20; 16:7-15; 19:4,6,7,10;21:1-3; 22:1-6,22-29; 28:1-28; 29:1-27



(A) IT’S GOOD NEWS TO THIS WORLD.(John3:16-21;8:32,36;14-27)

(B) IT’S GOOD NEWS TO THIS GENERAION (Mathew12:39-42;24:4-35)

(C) IT’S GOOD NEWS TO ALL NATIONS ON EARTH (Mathew 24:10-14;

Luke21:34-35)

(D) IT’S GOOD NEWS TO THE WHOLE UNIVERSE FOR JESUSE CHRIST IS THE SEED

OF ABRAHAM WHO IS THE FATHER OF ALL NATIONS ON EARTH.



(i) Jesus Christ fills the whole universe- Ephesians4:4-10.

(ii) Jesus Christ is seed of Abraham- Genesis22:8; Galatians3:16-29, John7:42

(iii) Abraham is the father of all nations on Earth( Genesis17:9-27; 22:15-18, Romans11:25-36, Galatians3:1-9

1. FROM NOW ON GOOD NEWS SHOULD BE IN ACTIONS:- Romans16:25-27; 2Crinthians3:7-18, Galatians6:11-15, Peter1:13-25; Philipians 4:8-9



2. THE THIRD WORLD WAR ON EARTH IS SPIRITUAL. (Revalation11:1-14

(i) The third World war on Earth is suicidal war Numbers24:23-24, John16:14

(ii) The war in details .mark 13:1-37; 2peter3:1-13 [daniel11:2- 45; 12: 1-13

(iii) Only living God can end this kind of war:- Hebrews10:28-30



3. THE THIRD WORLD WAR ON EARTH IS AGAINS FALSE PRIEST AND FALSE PROPHETS WHOME THE LORD GOD HAD GIVEN STRONG WARNINGS NOT TO FOLLOW ISRAEL’S FOOTSTEPS.



(a) The false priest and false prophet (Pangans priest) Mathew6:1-8,16-18 ; Proverbs 10: 19; Jude 17- 19; Malachi 2: 1-9; Isaiah 57:8.

(b) Warming not to follow Israel’s footsteps Acts 13: 93-41 1Corinthians 10: 1-13; 2 corinthians 4: 11; Galatians 3-10- 14) (Hebrews 10:26-31; 12: 14-29).



(c) The Lord God made false priest believe lie :- Ecclesiastes 7: 13; Habakkuk 1: 5- 11; Romans 11:25- 32; Thessalonians 2: 1- 12; Timothy 4: 1- 4; Hebrew 7: 28.

(d) God made the false priest believe lie to discipline the world :- Isaiah 24: 1- 3 Deutronomy 8:5 (Proverbs 11:31; 12:1- 2) (Romans 8: 18-27; 9; 17)

Hebrew 12: 1- 2; 1Peter 4:17-18



(e) The Lord Used Weapons e with divine powers to discipline the world.

2Corithians 10: 1- 18.( Luke 12:11-12; 21:15)



(f) The weapons with divine powers:- Levitcus 26: 14- 46; (Job 38-41)

Deuteromy 28:15- 68; Ezekiel 14: 12- 23.

(g) The powers of the Living God -: proverbs 8:1-36 (Exodus 33:19-20 ;34:14) 1 timothy 6:13; James 4:12 ;(Hebrews 10:29-31; 1Corontians 2:4-5



(h) The work of the false priests in this world is to deceived people with their counterfeit miracles:-2 Thessalonians 2:9-12; Revelation 13:11-18



(i) They are to be silenced by spiritual sword (Word):- Jeremiah 23: 28-32 Thessalonians 2:8; Revelation 19:9-10; Romans 3:19-20 Zechariah 13: 1-6

(j) All the people on Earth are saved the way they are:- Jeremiah 31: 8-9 Zechariah 12:1; Mathew 9:12-13; Ephesians 4:4-5

(k) Jesus is the Priest forever (That’s change of the law):- Colossians 2:6-23 Romans 10:4; (Hebrew 7:11-12; 8:1-13) Jeremiah 3:16

(l) The Bible is written in a puzzle way- Mathew 7: 21-23; 9 1Coronthians 1:10- 13;

2:4-16; 4:18-21; 10:20-22; 14: 37-38 John 5:36-47.

(m) Therefore the coming of our Lord Jesus Christ is spiritual not visible:- John 14:15-31; Acts 1:9-11; Revelation 22: 1-21; 1 Corinthians 15:1-58; 2 peter 2:1-22.



4. MEN’S FLESH IS TODAY’S JERICHO. (GALATIANS 5:16-18)

(Joshua 5: 1-15; 6:1-27); Romans 7:5-25; THEREFORE MEN SHOULD UNDERGO MALE CIRCUMCISION THROUGJ THE BIBLE PROCEDUREDS (REVELATION) FOR:-



(A) Women are men’s fresh, they are not allowed in churches (that’s not to cut their bodies- Philippians 3:2-6)

(i) Women are men’s fresh- Genesis 2:21-25; Ecclesiastes 7:25-29; (Ezekiel 16:1-63; 23:1-49) (Jeremiah 31:22;44:1-30) (Isaiah 4:1-6; 13:12)

(ii) Women are not allowed to teach in churches – 1 Corinthians 14:32-38; Ephesians 5:22-24; 1 Timothy 2:11-15

(B) The Living God is all about reconciling the world to himself spiritually. Isaiah 19:1-25; Mathew 22:29-33; (Romans 5:6-21; (9:17) 1 Corinthians 15:12-58; 2 Corinthians 5:10-21 (Revelation 4:1-11; 5:1-14; 21:1-27; 22:1-21.)

(C) Jesus Christ is all about spiritual unity on Earth. 1Corithians 12:3; Ephesians 2:11-12; 3:2-6; 4:2-7) Philippians 2:9-11; (Colossians 2:8-23; 3:9-11)

(D) The circumcised men through Revelation are the dwelling of the Living God (That’s New Jerusalem) for male circumcision is the seal of righteousness to men on Earth.

(i) Men’s flesh as God’s dwelling place Isaiah 66; 1-4; Zechariah 12;1; 2Corinthians 3:17; Hebrews 13:14 Revelation 21:1-5

(ii) Male Circumcision is the seal of righteousness to me on Earth. Romans 4:11-12; Hebrews 6:13-20

(E) All the people on Earth are not circumcised in their hearts for the Gentiles too, instead of waiting for the REVELATION has undergone circumcision for H. I V/A.I.D.S prevention falling away from grace of God.

(i) The Gentiles are supposed to wait for Revelation for them to get circumcised

Exodus 23:27-29; Habakkuk2: 2-3; 1Timothy 6:19; 2 Peter 3:3-13;

Revelation13:18 ; Proverbs 29:18

(ii) Circumcision for H.I.V/A.I.D.S prevention has made Gentiles too, fall away from grace of God:- Deuteronomy 28: 68; Romans 15:15-16; Galatians 3:1-10;

5:1-26) (Hebrews 5:11-14;6:1-6)

(iii) Other people who are not circumcised in their hearts:- Isaiah 19:1-25;; Jeremiah 9:23-25; Ezekiel 36:20-23; Amos2:6-7; Romans2:17-29; ! Thessalonians 2:14-17

(iv) The Living God did this for Him to bring spiritual unity and freedom to all men regardless their differences in cultures:- Genesis 17:9-27; Romans 11:25-36; Colossians 3:9-12. About freedom:- John 8:31,32,36,37; 2Corinthians 3:17



(V) Male circumcision will make people live by the spirit and keep in step with the spirit (in other words- COMPLIANCE WITHOUT COERCION(kutii sheria bila shurti by AIRTEL)- (that’s to carry own cross) John 4:19-24; 1Corinthians 12:3; 2Corithians 3:1-6 Galatians 5:16-26; Luke 14:25-27 (Jeremiah 3:16; 23:33-40) Proverbs 4:7. (That’s change of the law- Hebrews 7:11-12; 8:1-13)



Therefore I conclude by telling all would be well wishers that, 1Roymond has written the male circumcision constitution entitled TOHARA KATIKA BIBLIA (CIRCUMCISION THROUGH THE BIBLE) which has been examined by constitutions writer by the name Kenneth Mwazembe. Cell is 0762246322



I am asking for help from whoever mite be interested on my views for the ord’s work on Earth is democracy. Raymond Samuel Mwampamba, Itepula Village –Mbozi- Mbeya Jeremiah 23:28-32; 2Timothy 2:4-7



Cell 0768458969-0655371220

Email: raymondmwampamba@yahoo.com

Jeremiah 9:23-24; (Amos 3:7; 4:13) Luke 16:13015 John 14:12-14; 2Corithians 12:1-12

“NIV”











GOOD NEWS, GOOD NEWS, GOOD NEWS!! NO 3

(The Good News in action is the interpretation of the number 666-Revelation 13:11-18;) (in other words milk and honey should come from Gentiles for the Living God to feed the people world wide):- Exodus 33: 1-6



(1) Mungu ni Bwana na viongozi wenye nguvu kiuchumi pia ni Mabwana (God is a master as well as rich rulers)

Proverbs 24 Vs 21-22; Ecclesiastes 7Vs 12; Mathew 6Vs 24; Luke 16 Vs 13 Romans 13 Vs 1-14

(i) KUHUSU MUNGU (CONCERNING GOD)

Gen esis 37;39-45) (Exodus 33 Vs 19-20; 34 vs14) Levicticus 26;2 Samuel 16 Vs 5-14; Psalm 127; Proverbs 8;13 Vs8;29 Vs 16,25 Ecclesiastes 5 Vs 12; Proverbs 11 Vs 31; 1Peter 4 Vs 17-18;1 Corinthian 15 Vs 35 -58;2Corinthian 10 Vs 3-5 1Timothy 6 Vs 14-16; Hebrews 10 Vs 28-31; James 4 Vs 11-12



(ii) KUHUSU VIONGOZI (CONCERNING WORLD RULERS

Genesis 26 vs 14-16 Exodus 33 vs 3; 1 kings 10 vs 14-15;2 Chrinicles 9 Vs 13-14; Daniel 11 Vs 2-35; Amos 2 Vs 7; Luke 18 Vs 18-30; Romans 15 Vs 27 (James 4 Vs 13- 16;5 Vs 1-6) Revelation 13 Vs 11-18 Provebs 11:31; 12: 3-16; 13: 5-8; 16:7; 21:1



(2) Uumbaji wote upo chini ya nambari 666 (The whole creation is under numbe 666)

Proverbs 27Vs 21- 22; (Ecclesiasts 7Vs 20; 10 Vs 5-7 (Isaiah 8 Vs 19- 20; 24 Vs 1-3; 52 Vs 5) (Ezekiel 36 Vs 22; 37 Vs 22; Amos 2 Vs 7; Luke 11 Vs 23: 24; (Romans 3 Vs 9-31; 8 Vs 19-22) (James 4 Vs 13:16; 5 Vs 1-6; Hosea 4: 1-19



(3) Nambari 666 ni sheria (The number 666 is law

Mathew 8 Vs 22; (Romans 7 Vs 5-25; 8 Vs 1-4; Revelation 13 Vs 16-18

(4) Nambari 666 ni Nguvu (The number 666 is power

Genesis 26 Vs 12-16; Daniel 11 Vs 2; ( Mathew 6 Vs 24; 10 Vs 17; (LUKe 12 Vs 11 -12; 21 Vs 15-19) Romans 14 Vs 17- 18; (1 corinthians 2 Vs 14-16; Vs; 11 Vs18-19) Hebrews 13 Vs 17



(5) Nambari 666 ni uchumi ( The number 666 is

wealth):-1 Kings 10 Vs 14- 15: 2Chronicales 9 Vs 13- 14 (proverbs 13 Vs 6-8: 30 Vs 21-23) Ecclesiastes 7 Vs 12; Romans 15 Vs 27; 1 Timothy 6 Vs 9-10



(6) Nambari 666 ni ya mtu mwovu sio mnyama wapori (THE NUMBER 666 IS CRUEL MAN’S NUMBER NOT WILD BEAST)



Genesis 3 Vs 1-3; 16 Vs 11-12; 25 Vs 13-16) 1 kings 17 Vs 2-6; (John 40 Vs 15-19; 41 Vs 1-11) 2 Samuel 24 Vs 10-17; Jonah 1 Vs 17; (Proverbs 19 Vs 19; 20 Vs 2-3) (Isaiah 11 Vs 6-9; 24 Vs 3; 65 Vs 25) Numbers 24Vs 23-24; Jeremiah 44 Vs 30; (Ezekiel 2 Vs 5-8; 39 Vs 17-29) Mathew 10 Vs 14-16; Luke 13 Vs 31-32; John 16 Vs 1-4; Jude 3-19 Revelation 13 Vs 11-18

(7) KINACHO FANYA NAMBARI 666 KWA WANADAMU (WHAT MAKES THE

NUMBER 666 TO MAN)



(i) BIBLIA (the BIBLE)

2.Thessalonians 2vs 1-12;Amos 8: 7-14



(ii) VITAMBULISHO (REGISRATION CARDS)

Revelation 13vs 15-18



(iii) Lesseni zote (ALLLICENCES

Revelation 13vs 15-18

(8) MWISHO WA NAMBARI 666 DUNIANI (SHERIA ) (THE END OF THE

NUMBER 666 ON EARTH (LAW)(Issaiah9vs 1-7;49vs6-7) Mathew 9:13;

Romans 10:1-4; Galatians 3:1-4



Therefore I conclude by telling all would be well wishers that ,I Roymond has written the male circumcision constitution entiled TOHARA KATIKA BIBLIA (CIRCUMSION THOUGH THE BIBLE) which has been examined by constitution writer by the name Kenneth Mwazembe .cell is 0762246322



Iam asking for help from whoever mite be interested on my views. for the Lord’s work on Earth is democracy. ( Jeremiah 23:28-32; 2Timothy 2:4-7) .Raymond Samuel Mwampamba, Itepula village –Mbozi –Mbeya.



Cell 0768458969-0655371220

Emailraymondmwampamba @yahoo.com



“NIV”





GOOD NEWS, GOOD NEWS, GOOD NEWS!! NO 4

IT‘S GOOD NEWS TO THIS GENERATION

(2 KINGS 7: 9; ACTS 10: 36 ROMANS 16; 25-267)



(A) The Bible is man’s heart and the man’s heart is Bible. In other words, God is in man’s heart likeness and man’s hearts is in God’s likeness for the WORD (The Bible) is God. Genesis 1: 26; Mark 13:31 Hebrews 2:5-18; (James 1:18; 2:23) in The Bible is man’s a heart:- Zechariah 12: 1; John 6:63; Romans 5:1-11; Acts

24:15-16; (1Crinthians 2:4-16; 3:9-17; 6:9-20; 12:3) (2Corinthians 3:3- 6;5:19)

(Hebrews 3:1-13) Proverbs 15:11; 1Timothy 6:3-10.

(B) Therefore all men are saved:- Genesis 17:27; Proverbs 22:2; Ecclesiastes 12:14; (Mathew 9: 12-13;13:30) Romans 2:5-16,25-29;11:30-32) 1Corinthians 4:10; 1Thessalonians 5:23;Revelation 22:11.John 3:17

2. Woman is man’s flesh and man’s flesh is woman (man without God’s Spirit) therefore women are used on emergency matters only as the case to Deborah and Rahab who were used out of thousands men.

(a) Woman is man’s flesh and man’s flesh is Woman:- Genesis 2:21-25;Ecclesiastes

7:25- 29; Ezekiel 14:15-20; Mathew 11:25; Romans 7:5-25 (1Corithians 1:18-25, 28-

31; 2:6-16; 1John 5:19; Proverbs 18:2; Hebrews 7:28; Jude 17-19.



(b) Women are used on emergency Matters only:- Judges 4:1-24; Hebrews 11:31;

James 2:25; Proverbs 31:10-31



(c) WOMEN POWERS LIES ON VIRGINITY

(i) Women as sacrifice:- Judge 11:30-39; Isaiah 66:1-4; 1 Corinthians 7:34;

(ii) Women during war: (Judges 5: 30; 21: 11-12)

(iii) Women in marriages:- Deuteronomy 22:5, 13-29; (Numbers 5:11-31; 27:1-11) (Proverbs 14:1; 23:26-28) Hosea 4:13-14; Mathews 5:17-20; Romans 3: 31; 1Corinthias 14: 34-38; Mark 3:28-30; Luke 12:10; 1 Timothy 5:9-16. (therefore it’s foolish to marry a ravished woman) Deuteronomy 28:30; Mathew 12:38-42 Mark 12:18-27 Luke 21:33-35 1Corinthians 6:12-20; Proverbs 23:27-28



3. Men with God’s Spirit:- (Genesis 39:1-23; 41:1-57) (Proverbs 11:13; 17:28) (Jeremiah 1:4, 5, 10; 31:22) (Amos 3:7; 4:13) Ezekiel 14:1-23; (Luke 12:11-12; 21:15) John 14:12;1Corinthians 2:15-16; 1Timothy 2:5; Ephesians 4:10; Hebrews 11:1-40; 1peter 4:17-18

4. Good News should be put into practice for the people to enjoy the Glory of the New Covenant. Making business with the Word is to pierce your soul and other people souls:-



(A) The Good News into Practice:- Proverbs 21: 22; (Romans 14:16-18; 16:25-27) (1Corintians 4:18-21; 11:18-19; 14:32-38) (Ephesians 5:22-24; 6:10-20) 1 timothy 2:11-15; 2Timothy 2:4-7; 1Peter 1:13:Revelation 13:18 Philippians 4:8-9



(B) The Glory of the New Covenant to this generation:- John 8:31-32,36; 2Corithians 3:7-18 (Hebrews 2:2-4; 9:15-16) Revelation 21:1-27;



(C) Making business with the word is to pierce yourself and other people too:- Ezekiel 34:1-31; Mathew 23:13; Luke 11:52; 1Timothy 6:2-10; John 1:1-5



5. The Living God should work with world rulers to enable men live under one constitution which is the only way for the people to enjoy peace (Jeremiah 23: 16-18; John 16:33; 1John 5:19) and the only way again for the people to enjoy a corruption free world, (that’s corruption eradication on Earth) of which will mean the people enjoying the Glory of their New Covenant on Earth.



(A) The Living God should work with Government leaders:- Isaiah 9:1-7; Romans 13:1-7; (Mathew 6:24; 18:18-20; 25:14-46) Luke 16:1-15; Ephesians 6:5-9; 1Timothy 6:1-2; Hebrews 13:17; 1Peter 2:13-19 (Ecclesiastes 5:1-7; 7:12) (Proverbs 8:1-36; 11:10; 12:1-28; 14:19-20; 16:2,4,7-16;17:5,8-9,14-16, 18,27; 19:4-10 19; 20: 2-3; 21-18,30-31; 22:2,4,7-8; 24:16-22;25:2-5,15;27: 17; 28:1,2,3,9,12; 29:9-11,18-19) Nehemiah 5:17-18 Psalm 127:1-5



(B) The Living God does not tolerate corruption to mankind (Exodus 22:21,28;23:9) Leviticus 19:33-37; (Deuteronomy 9:4-6; 23:7-8) (Proverbs 8:1-14,30-31; 11:7;13:6-11;17:23,2628; 27:2,21-22; 28:4-8,15,21-23,27-28; 29:2,4,7,12-14,16,25-27



(C) Men should enjoy the Glory of the New Covenant on Earth (That’s body redemption):- Romans 8:23 1John 5:6-8):- 1 Corinthians 12:3; 2 Corinthians 3:7-18; (Revelation 21:1-27; 22:7-21) Leviticus 26:1-13; Deuteronomy 28:1-14



6. Jesus Christ is the Priest forever for the Gentiles are just materially blessed.(in other words ,the priesthood does come from Jews only(Romans 11:25-32) not from Gentiles for they are weak Priests(that’s Pagans priests-Jeremiah 23:16-19;Hebrews 7:28 Jude 17-19)

(A) Jesus Christ is the Priest forever;- John7:42; Galatians 3:16; Ephesians 2:14-

17; (Hebrews 1:1-14; 2:1-18; 7:28; 8:1-13) Philippians 2:10-11; Isaiah 45:22-23;

Revelation 22:13.





(B) The Gentiles are materially Blessed only, they represent the Kings of this generation not seers:- Proverbs 22:7, 16; 24:21-22; Jeremiah 33:14-26; (Ezekiel 36:21-23; 37:22) Luke 16:1-15 (Romans 13 :1-7; 15:27) Ephesians 2:11-13; Hebrews 13:17; Revelation 22:16.



7. Man is the worst creature on Earth :-( Leviticus 18:1-30; 19:26-28; 26: 18,21, 24,28,34-35, 42-46;) Deuteronomy 22:5; 28:53-57; 2Samwuel 24:10-14 Jugdes 8:22-23;(Isaiah 4:1-6;13:9, 11-12) (Jeremiah15:1-21; 44:1-30);(Ezekiel 14:1-23; 16:1-63; 23:1-49) (Romans 1:18-32; 9:17, 19-23) 2Peter 3:3-16; Revelation 13:11-18.

(In other words, it’s back to EDEN but NAKED where X-ray is concerned)Hosea2:18; Mark16:15; Romans 9:22-29: (Revelation 17:1-18; 21:1-27 ; 22:1-21)



8. Therefore men should boast that they know their God;-Deuteronomy 8:18; Jeremiah 9:23-25;(Luka 16:15;18:18-27) 1Corinthians 4:6-13; 2Corinthians 11:30-31; 2Timothy 2:20; 3:16; 1Peter 1:20-25; 2Peter 3:3-13; (James 4:12-17; 5:1-6).



I conclude by saying that, the entire world is being run under temporary basis:- Jugdes21:25;(Jeremiah 3:16; 5:30-31) Amos 8:7-14;Habakkuk 2:2-3; Isaiah 43:4; Luka 12:49-53; Mark13:31; John 4:21-26; (1Corinthians 11:18-19; 15:21-28, 35-57) 2Corinthians 3:7-18; 4:18) (Galatians 5:2-6; 6:15) 1Timothy 6:19; Hebrews 1:1-14; Revelation 22:7-21 Proverbs 29:18; (2Peter 1:3-11; 3:3-16) 1John 5:19.



“NIV”







GOOD NEWS, GOOD NEWS, GOOD NEWS!! NO 5



(2 KINGS 7:9; Acts 10:36; Romans 16:25-27)



THIS IS GOOD NEWS TO THIS GENERATION.

The world is being run without God spirit (without God power) Exodus 33:3;John 16:33;(2 Corinthian 3:17;4:18) 1 john 5:19



WARNINGS TO WORLD RULERS (Isaiah 9:1-7;13:9-13; 19:1-25)

(1king 20:35-45 Deuteronomy31:24-29)

This is the time to tell the one who cant’s manage- “YOU__CAN’T__MANAGE!!”

(Huu ni wakati wa kumwambia asiyeweza “HUWEEZI!!”

Jesus Christ’s cross must be under the Living God’s feet(Mathew 22:30_33;1 Corinthians 15:20 _28;Philippian 2:10-11)for the world to enjoy peace for Jesus Christ’s cross teaching is similar story to –golden calf story (Exodus 32:1-35) Gideon’s ephod story Judges 8;22-27) and Israeliets ageinst Benjamites story (Judges 20:1-48; 21:1-25)



There fore Jesus Christ’s cross becomes a Pagan symbol to this generation (Isaiah 57:8; Luke 12:49-53) Mathew 6:1-8, 16-18) 2Thessalonians 2:5-12

Raymond Samwel Mwambamba

CONCLUSION

The Bible is man’s heart and the man’s heart is Bible. (In other words, the Bible is Lord’s Constitution as well as man’s heart) Proverbs 15:11 Romans 2:5-16, 25-29; 1Corinthians 12:3; 2Corinthians 3:3-6; Hebrews 8:1-13.

TEREFORE

(A) Man does not need spiritual constitution on Earth besides Governments constitutions (Isaiah 9:1-7; Jeremiah 3:16; John 3:16; Romans 13:1-7;

(B) This is the only way can enjoy peace and stability on Earth. (Isaiah 11:6-9; 35:8-10; 65:25; Mathew 10:16)



Cell- 0768458969- 0655371220

Email: raymondmwampamba@yahoo.com



“NI


Kilimo kinahitaji mikakati zaidi

$
0
0


Kilimo kama uti wa mgongo wa taifa hili umekuwa ni wimbo mtamu vinywani mwetu tangu Azimio la Iringa la Siasa ni kilimo likisheheni kauli mbiu kadha wa kadha ambazo zimedumu kwa takribani miongo minne.

Serikali katika awamu zake tatu zilizotangulia ilijitahidi kuhamasisha kilimo kwa kuwaandaa wataalam na kutumia wanasiasa katika majukwaa yao kuhimiza kilimo ambacho mpaka hivi sasa hakijawa na mafanikio ya kuridhisha na hii ni kwa sababu ya kuwa na maneno mengi kuliko vitendo yaani hatukuwa serious.

Azimio hilo lilipokelewa kwa furaha na wananchi/wakulima wengi nchini na hasa wa hapa Mbozi ambao walilipokea na kwenda nalo sanjali na operation vijiji ambapo mashamba ya ujamaa yalianzishwa, vijiji vikasajiliwa chini ya sheria ya vijiji, mabwana shamba wakasambazwa vijijini, mipango maalum ya kuboresha mazao ya biashara ikaanzishwa na mafanikio yalianza kunukia kabla ya kuharibiwa na mipangilio ya serikali au uongozi bora.

Nasema mwelekeo uliyumba kwa kukosa uongozi bora kwani vyama vya ushirika vilivyoanzishwa hata kabla ya uhuru vilivurugwa na badala yake zikaanzishwa mamlaka za mazao kama Mamlaka ya pamba, ya Pareto na ile ya kahawa na tumbako nazo zilishindwa, zikavunjwa zikaanzishwa Bodi za mazao hayohayo kwa upande wa mazao ya chakula likawepo shirika la Usagishaji la Taifa (NMC), mazao mengine ikawepo GAPEX yote hayo imebaki kuwa historia.

Rais wa awamu ya kwanza hayati J.K.Nyerere enzi za uhai wake alisema ili nchi iwe na maendeleo tunahitaji vitu vinne, yaani ardhi, watu, uongozi bora na siasa safi(Ujamaa uk27). Sasa hapo sijui tulikosa nini kati ya uongozi bora na siasa safi kwani ardhi ilikuwepo ya kutosha, na watu walikuwepo wa kutosha.

Wahimizaji hawa aidha wenyewe hawakijui kilimo au wanafanya kazi kwa kuwa wameajiriwa kufanya hivyo ili mradi waonekane wamesema na kwamba serikali inawalipa mishahara kwa kazi hiyo.

Pamoja na ukweli kwamba ardhi inawaajiri asilimia 80 ya watanzania, bado ajira hii haina tija, mkulima hajaweza kufaidi matunda ya kilimo ili kujiletea maendeleo.

Awamu ya nne ya Mheshimiwa JK imeanza vizuri kwa kuainisha matatizo mbalimbali yanayoikumba sekta ya kilimo na mifugo na migongano ambayo imekuwa ikitokea sehemu mbalimbali baina ya wakulima na wafugaji.

Kuna matatizo yanayotokea yaliyo nje ya uwezo wetu kama ukame, mafuriko n.k , kwa hayo tunamwachia Mungu, lakini kuna matatizo yanayosababishwa aidha na mipangilio mibaya ya serikali au watu wachache wenye nyadhifa zao na wenye dhima ya kuinua kilimo nchini.

Hapa ndipo penye matatizo yote ambayo kwa mimi mkulima nitaishia kulaumu serikali kwani kila baya linapotokea tunasingizia serikali hata kama yupo mtu anayestahili kuwajibika kwa uzembe na pengine ni hujuma tu.

Umefika wakati wa Watanzania kuufichua udhalimu na uhujumu wa baadhi ya watumishi serikalini walioamua kurudisha maendeleo nyuma kwa makusudi na kukebehi dhana nzima ya serikali ya awamu ya nne ya kumpatia maendeleo na maisha bora kila Mtanzania.

Katika kuhakikisha kuwa kilimo ambacho ni uti wa mgongo kinazaa matunda wakulima wamejiandaa kuzalisha zaidi na hasa baada ya bei ya mahindi, mpunga na maharage kupanda katika msimu uliopita ambapo mahindi kwa hapa Mbozi yaliuzwa kwa shilingi 60,000 kwa gunia la kilo 100, mpunga 75,000 kwa gunia la kilo 60 na maharage 90,000 kwa gunia la kilo 100 .

Wakulima walitegemea ahadi ya serikali ya kuwauzia pembejeo na hasa mbolea kwa bei ya ruzuku ambayo kwa hapa Mbozi imezua kizazaa na malalamiko mengi kwa zoezi zima la ugawaji mbolea lilivyoendeshwa na hasa pale walipoletewa mbolea za kukuzia badala ya zile za kupandia ili hali majira ya mbolea hizo ni miezi ya Januari na Februari .

Tukimtafuta mchawi tunaambiwa wizara ya kilimo ndiyo iliyopanga kuleta mbolea za kukuzia wakati wa kupandia, sisi kama wakulima tunaamua kupanda bila mbolea tukijua kwa makusudi kabisa kuwa kupanda bila mbolea ni kuvunja kanuni za kilimo bora na hivyo kwenda kinyume na Azimio la Iringa la Siasa ni kilimo.

Mfano mzuri ni msimu wa 2007/8 ugawaji wa pembejeo ulikuwa wa vituko na kuonesha kuwa hujuma zilijulikana na wahusika wenye dhamana ya kilimo. Makampuni yenye uzoefu wa kuuza na kusambaza mbolea kwa miaka mingi yalipewa mgawo mdogo sana wa kuuza hizo mbolea mfano mzuri ni kampuni ya mbolea Tanzania (TFC) wakapendelewa makampuni ya binafsi, mfano TFC iliruhusiwa kuuza tani 650, Export Traders tani 2497, Premium tani 205, STACCO tani 1077, Chapameli tani 1500, Nyiombo tani 154 na kufanya jumla ya tani 6084 kwa wilaya badala ya mahitaji ya jumla ya tani 28,000.  

Msimu 2012/13 mbolea za kupandia zililetwa wilayani hapa mwezi Februari badala ya Oktoba je hao wakubwa wanadhamira gani na kilimo? Aibu tupu!

Kama dhamira ni kuinua kilimo kwa faida ya taifa zima kuna haja sasa Mheshimiwa Rais kuangalia muundo wa baadhi ya vyombo husika vilivyotarajiwa kufanikisha zoezi zima la kusambaza pembejeo na hasa wizara ya kilimo.  

Wizara ya kilimo kupitia Mfuko wa Pembejeo inatoa mikopo kwa ajili ya kuinua na kuboresha kilimo, kwa mujibu wa kipeperushi cha Mfuko huo, Mfuko unatoa mikopo ya pembejeo za kilimo na mifugo, mikopo ya ununuzi wa matrekta mapya, mikopo ya kukarabati matrekta na mikopo ya kuanzisha vituo vya kukodisha matrekta (Farm Service Centres)

Inawezekana kabisa kuwa Mfuko wa Pembejeo haujawezeshwa kiasi cha kutosha kulingana na mahitaji yalivyo hivi sasa kwani awamu hii ya nne imedhamiria kuinua kilimo na hivyo kila kona inahitajika kwenda kwa kasi mpya na nguvu mpya bila hiyo mikopo wakulima wetu wataishia jembe la Adamu na Hawa.

Kazi kubwa inayofanywa na Mfuko wa Pembejeo wa Taifa (AGITF) inahitaji kuungwa mkono na kuwekwa jukwaani ili taasisi nyingine ziige. Mfuko huo chini ya Mkurugenzi wake Mariam Nkumbi licha ya kuwa na watumishi wachache, wanajitahidi kuzunguka katika mikoa yote na kujua mahitaji ya wakulima, kutoa mikopo na ufuatiliaji wa marejesho.

Serikali inapaswa kuongeza fedha kwenye mfuko huu sanjali na maandalizi ya kuanzisha benki ya kilimo. Mfuko huu umesimama badala ya benki kwa muda mrefu na umekuwa ukitoa mikopo kwa kuzikubali hatimiliki za kimila ambazo zinaenda sambamba na mipango ya serikali ya Mkukuta na Mkurabita.

Mfuko huu ungeweza kuwasimamia mawakala katika suala zima la uagizaji na usambazaji wa pembejeo kwa ushirikiano na mashirika mengine kama AGRA n.k.

Mapinduzi ya kilimo ni lazima, yalenge kuongeza maeneo ya uzalishaji kutoka hapa tulipo , mkulima wa jembe la mkono awezeshwe afikie zana za kukokotwa na wanyama, na yule anayetumia wanyama kazi apewe trekta kulingana na uwezo wake.

Pembejeo zifike vijijini aliko mkulima kwa utaratibu mzuri na kwa wakati stahili na si kamahivi sasa mkulima anahitaji mbolea za kupandia anapelekewa za kukuzia na atakapohitaji za kukuzia atapelekewa za kupandia hicho ni kichekesho.

Kwa bei hizi hata ungelikuwa ni wewe kwa vyovyote ungelikata tamaa na kuamua kuzalisha chakula cha kuganga njaa tu na si cha kibiashara na kujiongezea kipato.

Mwanzoni mwa Disemba hii 2013 nilimsikia ndugu David Mwaibula akielezea mipango ya kilimo na uwekezaji katika kipindi cha Baragumu kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Channel Ten kuwa ni lazima kiende kwa wakati. Alifafanua kilimo enzi za mkoloni kuwa alihimiza mazao hayo na kuweka soko la uhakika kwani walaji walikuwa wengi na mahitaji ya dunia yalikuwa makubwa. Alitoa mfano wa zao la mkonge ambalo lilitoa katani zilizo tumika kutengeneza kamba. Meli zote zilitumia kamba za nanga za mkonge kabla ya teknolojia hii mpya ya kamba za manila.

Tumeadhimisha miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika tunahitaji kuyapitia yote mabaya na mema tuliyoyapitia na kujisahihisha kwa kuondoa vikwazo au vizingiti vyote vinavyofanya uti wa mgongo wa Taifa hili kuyumba.

Ahadi za serikali yetu zinasubiriwa kwa hamu kubwa, wakulima wako tayari kuiunga mkono serikali yao katika mchakato mzima wa kuwapa maisha bora kwa kila Mtanzania, jicho la serikali lipite kila idara na Rais asiwaonee haya wote wenye ajenda ya siri na uchumi wa watanzania.

Ni imani yangu kuwa ziara za Mheshimiwa Rais zitaleta mapinduzi katika kilimo kwani amejifunza mengi na hasa nchi za Asia ambao walikuwa maskini kuliko hata sisi lakini walifanya mapinduzi ya kilimo wakaendelea kwa kujitosheleza kwa chakula na ziada kuuza nje.

Kuna haja sasa kuwakubali waisrael, wajapan na wengineo waje nchini kufundisha kilimo vijijini aidha kwa kuajiriwa na serikali au kama misaada ya ufundi. Mfano ni mradi wa Sasakawa Global 2000 ulioendeshwa muda mfupi ulifundisha mbinu za kilimo zilizowezesha wakulima kuongeza kipato cha ekari ya mahindi kutoka gunia 15 hadi gunia 20 hadi 25.

 Walichofanya ni kuangalia upandaji wa mbegu na matumizi ya mbolea waliposhauri kisasa mabadiliko yalionekana.












KILIO KIKUU

$
0
0



Kwa wafugaji wa kuku wilaya za Mbozi na Momba KUMEIBUKA KILIO KIKUU BAADA YA KUTUMIA CHANJO DHIDI YA KIDERI (New castle Vaccine) kuku wamekufa na wengine kupofuka macho kabla ya kufa. Serikali ifuatilie wahusika wauzaji chanjo feki na kuiondoa madukani bado inauzwa mkoani Mbeya

NMB Benki ya wanyonge

$
0
0
Ninapotembelea blog za wenzagu sioni shida kueneza yale mema wanayoyaandika kwenye blog zao ikiwa ni njia ya kusambaza taarifa. Nimepitia blog ya mwanamama wa kimarekani aliyetembelea hapa kwetu Brokyln katika blog yake ya entrepreneurship fear not hapa naonesha yaliyojili

I really enjoyed our meeting with Hans Christiaanse at the National Microfinance Bank (not just because of the cool air-conditioned office and snacks). NMB formerly called the Cooperative Farmer’s Bank was privatized in 2005. 51% is still owned by the Tanzanian government and 49% is owned by Bank of the Netherlands a AAA Bond rated bank. Before it was privatized NMB focused on doing banking and payments for government initiatives and employees. However it is becoming a full commercial bank. It is currently the most successful bank in Tanzania, with the most assets on its balance sheet.

Since Tanzania is a developing nation, whose economy is heavily rooted in agriculture the bank focuses heavily or agricultural loans. Being part of farming cooperative is the best way to secure a loan to invest in capital. The bank sees cooperative loans as less risky. In addition cooperatives are able to pool their resources to negotiate better contracts. NMB charges 20% for Micro Loans and 14% for larger loans.

This Cooperative model reminded me of Muhammed Yunas’s micro financing model. This model of using collective efforts and reputation seems to work in developing countries where physical asset collateral is hard to come by.

What surprised was that Tanzania does not have a national ID number equivalent to the Social Security number used in the US. This makes it difficult to perform credit checks and hold borrowers accountable for loan defaults.

The policy that restricts land ownership in Tanzania was also surprising. The Tanzanian government owns100% of the country’s land and leases it out its citizens and residents. In light of this, I wondered what type of collateral Tanzanians used to secure their loans, if the did not own land. According to Mr. Christiaanse they use farm equipment, crops, the home they built on the leased land or have someone with means cosign their loan.

A third revelation that surprised me was that NMB only introduced ATMs to its customers 11 months ago. Nonetheless, bank lines were still pretty long. In addition, all NMB were connected in early 2007 throughout the country.

During our visit, we noticed that Customer Service in Tanzania was lacking. Poor customer service coupled with new technology and new ways of doing business I though it may be difficult for NMB to find qualified employees. Mr. Christiaanse confirmed this. To solve this problem the bank sends its top managers (first and second tier) to Holland to that they can have a better understanding of customer service and the business model.

By going private, Tanzania has significantly sped up the development of its banking industry. NMB has accomplished a great deal in only 2 ½ years. This growth is encouraging. Fertile soil is being laid for the Tanzanian entrepreneurs.

Tunduma sasa karaha

$
0
0
Malori yanayosubiri kuvuka kwenda nchi za kusini mwa Afrika yamekwama sasa kwa takriban wiki mbili kwa kinachoelezwa kuwa ni ubovu wa barabara upande wa Nakonde Zambia. Pamoja na sababu hiyo serikali ya Tanzania haijaandaa maeneo maalum kwa ajili ya maegesho ya magari na hivyo kuwalazimu madereva wengi kuegesha magari yao kando ya barabara kuu itokayo Dar es salaam kwenda Zambia.

Huko ni kukwama kiuchumi kwani shughuli za usafirishaji zinaposimama kwa sababu zisizo za lazima kuwepo na ufuatiliaji anayesababisha achukuliwe hatua.

Hiyo ndiyo hali halisi

Mwanamke aliyekamatwa na mamba alivyonusurika

$
0
0
Alishikiliwa kwa masaa matatu, hakunywa maji japo alizamishwa kwa masaa hayo, maajabu hayo!





  “Mungu asiporuhusu kufa huwezi kufa hadi aruhusu yeye” ndivyo anavyoanza kusimulia kisa cha kusisimua na cha ajabu Erika Kajuanga (70) mwanamke aliyenusurika kuliwa na mamba baada ya kushikiliwa kwa masaa matatu chini ya maji.

Erika Kajuanga ni mkazi wa kijiji cha Bujonde wilayani Kyela mkoa wa Mbeya ambaye alifikwa na mkasa wa kukamatwa na mamba mnamo Novemba 27 mwaka 2012 majira ya saa moja asubuhi alipokuwa anafua nguo kando ya mto Kiwira.

“Nikiwa nafua nguo ghafla nilishikwa na mamba ambaye alinizamisha kwenye maji akikimbia toka pale aliponikamatia na kunipeleka ndani zaidi umbali ambao wenzagu tuliokuwa tunafua nao hawakuweza kubaini”anasimulia. 

Akiwa huko chini mamba alimwingiza kwenye pango chini ya maji akiwa tayari amemvunja mikono yote miwili na kumjeruhi goti na kumuacha kwa muda baadaye mamba huyo alirejea na kumtoa pale alipomuacha na kumwinua juu na kisha kumzamisha tena.

Mama huyo alikuwa akiomba Mungu amnusuru na hatari hiyo. Fahamu zilimjia akaingiza mdomoni mwa mamba nguo aliyokuwa ameshikilia mkononi licha ya mikono hiyo kuvunjwa aliweza kuishindilia vizuri kinywani mwa mamba huyo ndipo alipomwachia na kukimbia.

Akiwa chini ya pango kwenye maji mama huyo anashindwa kujua ilikuwaje hakudhuliwa na maji kwani hadi anatoka hakunywa hata kidogo na kwamba aliwezaje kupumua kwenye maji bado kwake ni kitendawili.
Baada ya kuachiwa hakuwa na uwezo wa kuogelea hivyo alijilaza chali akitumia miguu aliweza kufika eneo lenye jiwe kubwa akiwa hapo aliwaona watu waliokuwa wanajitahidi kumtafuta akapiga ukulele wa kuomba msaada ndipo walipofika wanaume wenye mikuki na kumwokoa.

Anasema ilifika hatua alikata tamaa ya kuokoka kwani alijua mamba yule angeweza kumrudia wakati wowote kabla hajapata msaada.

Alikimbizwa katika hospitali ya Kyela na kupatiwa msaada kisha kukimbizwa katika hospitali ya rufaa Mbeya ambapo hakuweza kupata matibabu yoyote kwasababu ya kutokuwa na fedha. Aliambiwa atoe shilingi laki tatu. Hata hivyo Kajuanga anadai kuwa yalitokea mabishano kati ya wahudumu wa hospitali hiyo waliodai kuwa bibi amepona kifo cha mamba na sasa mnamwacha afie hospitali kwa kukosa matibabu.

Kama ilivyo ada ya mja hunena mahali pande mbili zikivutana Mungu huinua upande mmoja kumtetea mja wake, walijitokeza ndugu na kumsaidia kumpeleka katika hospitali ya Peramiho iliyoko Songea mkoani Ruvuma baada ya kuwepo katika hospitali ya rufaa Mbeya kwa siku tatu bila matibabu. 

 Erika Kajuanga anawashukuru watu wa Mungu ambao walijitolea na kumsaidia kwenda katika hospitali ya Peramiho ambako anaendelea na matibabu hadi leo na kwamba hali yake inaendelea vizuri baada ya mikono iliyovunjwa kuungwa vizuri.

Tukio hili liliwashangaza wanakijiji wa Bujonde wakijiuliza bibi huyo aliwezaje kuwa mikononi mwa mamba kwa masaa matatu na baadaye kuachiwa; kweli Mungu mkubwa.

 Unaweza kuona makovu makubwa mikononi mwake hapa ni baada ya kutoka katika hospitali ya Peramiho

  

Nanenane 2014 Kilimo ni Biashara

$
0
0
Maonesho ya kilimo, mifugo na ujasiriamali ni fursa pekee inayoonesha hisia za watanzania kuhusu matarajio yao kulinganisha na fursa zilizopo.

Watunga sera wamekuwa wakiwayumbisha wakulima kwa kutoa sera zisizotekelezeka na porojo nyingi. Ilipobuniwa kaulimbiu ya Kilimo kwanza wengi walikuwa na tumaini ya kuushinda umaskini wakidhani serikali ingekuja na mikakati kabambe ya utekelezaji wa kilimo kwanza kwa vitendo kumbe sivyo ilivyotokea.

Maenesho ya nanenane jijini Mbeya yamefana licha ya kukumbana na changamoto kadha wa kadha zinazojitokeza. Tumaini la wakulima walio wengi walitarajia sera imara zingewekwa ili kuwa na fursa kwa vyombo vya fedha kuchangia moja kwa moja katika kilimo.

serikali ibuni mikakati ya kuwakopesha wakulima hawa wadogo wajishughulishe na ujasiriamali utakaohusisha usindikaji wa mazao yao na kuyauza vizuri.

Kati ya mambo yaliyochekesha mwaka huu ni pale serikali inapojitangaza na kujigamba kuwa itaiuzia shehena ya mahindi Kenya takriban tani 50000, Tujiulize kuwa fursa iliyokuwepo inapotea kwa kuuza ghafi bila kusindika na kuyaongezea thamani huo ni upwagu.


Hilo ndiyo banda la maonesho la jiji la Mbeya linasema Kilimo ni Biashara.

Hilo ni kati ya mabanda machache yaliyoandaliwa

Hiyo ni bustani ya jiko imewekwa hapo kama shamba darasa kwa mtu asiye na eneo unaweza kufanya hivyo

Wakulima kazi kwelikweli

$
0
0

Pamoja na jitihada zinazofanywa na mkulima mmoja mmoja za kuzalisha mazao ya kilimo chakula na biashara bado mazingira yake ni magumu analima bila kuwa na uhakika wa soko. Bei zenyewe zinapangwa na wanunuzi halafu sisi wa mjini tunalaumu ughali wa chakula kumbe ni wanunuzi wa kati ndiyo wanalangua mazao hayo. Serikali iandae vema mazingira ya kuwa na soko la uhakika kupitia mamlaka zake au hata vyama vya wakulima (vikundi). 
Ushirika uliotarajia kusaidia kutatua matatizo ya soko leo hii ushirika ni marehemu na bila kutafuta chombo mbadala hali itaendelea kuwa mbaya. Serikali itenge fedha za ununuzi wa mazao yote na kuelekeza nguvu kama sera inavyotamka.

Serikali ikishindwa kumtafutia mkulima soko la mazao yake itawalazimu kudai kwa nguvu kwani mkulima hana likizo yaani sawa na yatima kwani yatima hadeki.


Mambo yalivyokuwa katika uwanja wa nanenane wa John Mwakangale juu ni vifaranga wa Malawi chini ni mkulima wa Tunduru akiwa katika banda lake akionesha muhogo babu kubwa.

Hapo juu ni madumu ya asali ya nyuki wakubwa ba wadogo karibuni

Maonesho haya hayakuacha kuonesha kuku kama ndege wa kukupa kipato na anaweza kufugwa na kaya maskini.
Hao kuku ni aina ya Kenya wanaitwa Kenbro Dr Mbwaga wa Uyole ndiye mfugaji wa kuku hao


KIlimo mseto

$
0
0
Kuna kila sababu ya wakulima kuangalia upya jinsi tunavyokitegemea kilimo na ni mazao gani tuzalishe. Tukiwa tunatafakari tufanyeje tujaribu kuwekeza katika kilimo cha mazao mbalimbali ambayo soko lake ni la uhakika zaidi.
 Tunapotembelea mashamba ya wenzetu katika utekelezaji wa kilimo kwanza kwa vitendo tujifunza kuwa kilimo mseto ndicho kitatusaidia. Tulime migomba, tufuge samaki, tufuge nyuki bila kusahau mkombozi wa maskini yaani ufugaji wa kuku wa kienyeji.
 KIlimo mseto kimesisitizwa katika mbio za mwenge 2014 kama hapo chini palivyo.
 Kilimo ni biashara kama hivi
 Huo ni ufugaji wa samaki

Ugugaji kuku wa kienyeji

$
0
0
Ufugaji kuku na hasa wa kienyeji ndiyo njia pekee ya kumkomboa mwananchi vijijini kiuchumi. Serikali inapaswa kuhakikisha madawa ya mifugo na kinga au chanjo inayouzwa madukani iwe halisi na ya ukweli isiwe kama mwaka 2013 chanjo feki ilizagaa madukani matokeo yake wafugaji waliochanja mifugo yao ilikufa. Nani amefanya tahmini ya hasara iliyowafika wakulima hao? Nani anawalipa fidia ilihali mkulima ni kama mtoto yatima ambaye hapaswi kudeka?
 Ufugaji wa kuku ukienda sanjali na ukulima utanufaishana kwani kuku watapata mazao ya kilimo nalo shamba litarutubishwa na mbolea ya kuku.
Mzunguko huo wa mazao na mifugo mwaisho wa siku utakuwa na tija
 Hivi ndivyo tunavyofuga, hapa chini ni wenzetu wa Ethiopia wanafuga kisasa ambacho tuliowengi hatuwezi kutokana na gharama za mtaji zinazohitajika.
 Banda hili linatufaa kwa wale wenye maeneo ya kati yaani lenye ghorofa ili kuwa na nafasi kubwa ya kufugia ambapo unaweza kufuga huria hayo mabanda wakatumia kulala na kutagia.
 Kwa wale wa mijini unaweza weka banda kama hili uwani na ukafuga bila matata

NFRA kununua tani 200,000 za mahindi

$
0
0
Ununuzi wa mahindi ulioanza wiki iliyopita utapunguza kwa sehemu kubwa ukosefu wa soko uliojitokeza kwa msimu huu 2014/15 ambapo wakulima waliuza kwa wafanyabiashara kwa shilingi 24,000 kwa plastic kilo 20 badala ya shilingi 500 kwa kilo inayotolewa na Wakala wa Hifadhi ya Chakula ya Taifa.

Licha ya ununuzi huo serikali inapaswa kubuni shirika litakalofanya biashara ya ununuzi na usagaji wa nafaka ili hata maamuzi ya kuuza mahindi nje yasiwepo tuuze unga yaani ni mahindi yaliyoongezwa thamani.

Pamoja na hayo changamoto ni nyingi ikiwepo uchache wa vituo vya kununulia mahindi hayo hali inayosababisha mlundikano mkubwa wa magari na kulazimu magari kukaa wiki bila kushusha mzigo.

Wiki iliyopita Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Godfrey Zambi alisema serikali imepanga kununua jumla ya tani 200,000 bila kueleza umma kuwa hizo tani 200,000 ni kati ya tani ngapi zilizozalishwa na kwa kiasi hicho amewasaidiaje wakulima ambao kwa vyovyote wamezalisha zaidi kuliko uwezo wa serikali kununua.
 Hilo ni lundo la mahindi yaliyonunuliwa  kwa wiki moja

 Ustadi wa kazi unatukumbusha enzi za Shirika la Usagishaji la Taifa yaani NMC

 HUo ni upimaji unaoendelea hivi sasa

Mijadala inaendelea kwa madereva waliokaa hapo kwa zaidi ya wiki bila kushusha mahindi

Article 6

$
0
0
Barabara kuu ya Dar es Salaam - Lusaka Zambia maarufu kwa jina la Tanzam Highway eneo la Songwe kwa Feston linaharibika baada ya wananchi wa eneo hilo kufungulia maji ya mfereji na kufanya bwawa kando ya barabara bila kuelewa madhara yake.

Mhandisi wa Tanroad mkoa wa Mbeya James Nyakabari hajaona hilo. Pia maeneo mengi kuanzia Tunduma hadi Mlowo yameharibiwa na mifugo, wenda kwa miguu na magari yanayochepuka na hivyo kula mabega ya barabara (Road shoulders) zaidi ya mita 2.

Ukarabati wa mara kwa mara unahitajika ili kuziba nyufa badala ya kungoja kujenga kuta.

Hii ndiyo hali halisi ya bwawa hilo kando ya Tanzam Highway kwenye kizuizi cha ukaguzi ushuru wa mazao


Maji yakitiririka toka kwenye mfereji wa umwagiliaji na kuingia kando ya barabara ya lami


 Ndoo zinazotumika kuchotea maji kwa ajili ya kuoshea magari na pikipiki


Investing in agriculture

$
0
0

Agriculture in Africa especially in Tanzania

 Coffee plantation young plants


 Harvesting coffee mostly worked with women in the villages


Intensive agriculture

 Mr Robinson at his Sweet Unit Farm, Bara village in Mbozi district. A very good farmer with more than 50 acres (Estate)


The Mbeya Region Commissioner Hon Kandoro addressing about importance of investing in intensive agriculture

Are you wishing to invest in agriculture? If so you need land. Where to get land for intensive farming especially coffee, maize and fruits production in Southern Highland of Tanzania. Do not be disappointed  what you need is to call +255762246322 or +255715246322 all troubles will be compromised by a single call.
We think of SAGCOT




We need to step up food production and one place in the world where there is great potential to do just that is Africa. This is where we can get real growth. We have to use existing farmland and intensify production. And to do so we need better technologies that are sustainable,” says Johan Janse van Rensburg, a marketing specialist at Dow.


 Not only coffee in Mbeya region but also papaya and avocados can be grown.

Since 2012 when Tanzania’s Prime Minister Hon Peter Mizengo Kayanza Pinda chaired the Investors summit in his office how far have they gone?  It was 30th April 2012.

The Southern Agricultural Growth Corridor of Tanzania (SAGCOT) is an inclusive, multi-stakeholder partnership to rapidly develop the region’s agricultural potential. SAGCOT was initiated at the World Economic Forum (WEF) Africa summit 2010 with the support of founding partners including farmers, agri-business, the Government of Tanzania and companies from across the private sector. 

SAGCOT’s objective is to foster inclusive, commercially successful agribusinesses that will benefit the region’s small-scale farmers, and in so doing, improve food security, reduce rural poverty and ensure environmental sustainability. The risk-sharing model of a public-private partnership (PPP) approach has been demonstrated to be successful in achieving these goals and SAGCOT marks the first PPP of such a scale in Tanzania’s agricultural history.

 Eating avocados can help to lower bad cholesterol and enhance libido


 For agricultural products processing, Mbozi and Momba districts are strong hold points

Viewing all 26 articles
Browse latest View live